Vitabu vya Sayari vimenuiwa kuwaongeza wanafunzi maarifa ya kusoma na kuilewa lugha ya Kiswahili huku vikiwafanya wajimudu katika kuizungumza lugha hii.
Vimekusudiwa kusomwa na wanafunzi wa darasa la sita, saba na la nane katika shule za msingi za Afika Mashariki. Kwa kuwa hawa ni wanafunzi waliokomaa, lugha katika mafululizo wa vitabu hive imepevishwa il kuwatayarisha katika mitihani.

Reviews
There are no reviews yet.