Bwana Elishaphan Wachira ni miongoni mwa waandishi wanaochipuka kwa kasi sana. Anajikusuru daima kuandika kwa lugha ya Kiswahili na kukiendeleza. Kwa sasa ni mwalimu wa Kiswahili katika shule ya upili ya Wasichana ya Rarakwa katika Gatuzi la Murang’a. Anajaribu kwa udi na uvumba kukiendeleza Kiswahili kupitia kazi bunilizi. Kwa sasa anamiliki shahada ya ualimu Chuo cha Kenyatta.
Sale!
Adhabu Ya Maisha
Mwaisambe alipata taarifa kwamba katika jimbo lao la Matusitusi kulikiwako na mganga mashuhuri. Mganga huyo aliwatibu watu kwa dawa kienyeji alizokuwa nazo daima. Basi baada ya kusikia habari kumhusu mganga huyo, Mwaisambe aliamua kwenda kumtembelea…
KShs 450

Reviews
There are no reviews yet.