Patrick Ngugi ni mwanahabari ambaye amefanya kazi na magazeti mengi yakiwemo Nation na Taifa Leo. Yeye pia ni mwandishi wa hadithi za kubuni aliyekomaa. Kitabu chake kingine ni Kachuma na Polisi Wezi, ambacho pia kimechapishwa na Phoenix Publishers LTD
Sale!
Kachuma Na Binadamu Wanyama
Nikki Kachuma na wenzake kutoka Shule ya Toredi wamo safarini kuitembelea Mbuga ya Wanyama ya Nairobi. Hawana habari kuwa kuna zaidi ya wanyama katika buga hii, na kuwa wengine wa binadamu wenye maficho yao hapa ni hatari kuliko wnayama wenyewe…
KShs 475

Reviews
There are no reviews yet.